Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Bwana Evans Balama, akihutubia katika mkutano wa kilele cha maadhimisho ya siku ya Kifua Kikuu duniani yaliyofanyika kiwilaya Kata ya Iwindi Mbeya Vijijini.
Bwana Weston Asisya wa Asasi ya MMRP akisisitiza moja ya ujumbe wa mwaka huu.

No comments:
Post a Comment